Saturday, 10 December 2016

Kibubu Cha Juma Khamis

Kibubu cha Juma Khamis ni kibubu kilichoanzishwa na watoto wa Juma Khamis Kwa lengo la kumsaidia Mzee wetu pale ambapo kumetokea jambo la kufanya hivyo.
Kibubu hichi kimeanzishwa na watoto wa mzee Juma.
Watoto Hao Ni hawa wafuatao:

1 Ali Juma
2 Fatma Juma
3 Maimuna Juma
4 Sleiman Juma
5 Salim Juma
6 Ramla Juma
7 Raya Juma
8 Mohd Juma
9 Abdul Juma
10 Farida Juma
11 Hafsa Juma
12 Maryam Juma
13 Fatma Juma ( Mdogo)
14 Othman Juma
15 Sharafe Juma

Kibubu kitaendelea kuimarika kwa kukusanya michango ya kila mwezi.

No comments:

Post a Comment